Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 590
- 415
A teacher is available for your child's home tuitions at negotiable and affordable cost.
I offer my services in Dar es Salaam. What else would you want to know? You are welcome to contact me through 0758517100. Thanks.Where do you offer your services
Thanks Kambako for your constructive comments.Ticha mbona tangazo lako umeliweka kama ni kitu Haramu. Mbona unaandika kama hauko sereous mwalimu.
Jaribu kujiuza zaidi kupitia tangazo lako. Liandike in such a way umkomvisi mtu akuletee mtoto wake, usimpe mtu nafasi ya kudauti uwezo wako.
Katika tangazo lako ilitegemewa vitu vifuatavyo viwe clearly stated:
1. Location yako ikiwemo mkoa ulipo na uwezekano wa kumfuata mteja alipo
2. Wateja wako ni wanafunzi wa chekechea, msingi, sekondari au chuo.
3. Malipo yako ni kiasi gani na unalipwa kwa siku, wiki, mwezi au mwaka.
4. Jinsia yako
5. Experience yako ya ufundishaji na mafanikio uliyowahi kupatia watoto kwa kuwafundisha. Hata kama hujawahi kufundisha ndio unaanza basi say so na ukweli wako utakulipa
Siri ya well written tangazo ni kubwa Sana mdogo wangu. Hebu kaa Chini andika tangazo zuri. Kuna mtu hata kama hajawaza kumtafutia mtoto wake tuitions anaweza kabisa vutika sababu ya tangazo lako
Mwalimu kwa nini usitumie tu lugha ya kiswahili?Thanks Kambako for your constructive comments.
I am a male teacher, offering home tuition services since year 2000, here in Dar es salaam. I deal with primary school and secondary school students, specifically science and maths for primary pupils and chemistry, physics and maths for o' level students. Terms of payment is negotiable and depends on my client's interest, paying either weekly or monthly.
My services includes devising and suggesting suitable learning methods to struggling students. You are welcome.
Mwalimu anapenda kingereza japo bahati mbaya chenyewe hakimpendi
Thanks for your comment but I prefer English to swahili. Moreover, it is the medium of communication during teaching - learning process.
You suppose so and that is your freedom of expression. Feel free.Mwalimu anapenda kingereza japo bahati mbaya chenyewe hakimpendi