Home tuition services

Home tuition services

Ticha mbona tangazo lako umeliweka kama ni kitu Haramu. Mbona unaandika kama hauko sereous mwalimu.

Jaribu kujiuza zaidi kupitia tangazo lako. Liandike in such a way umkomvisi mtu akuletee mtoto wake, usimpe mtu nafasi ya kudauti uwezo wako.

Katika tangazo lako ilitegemewa vitu vifuatavyo viwe clearly stated:

1. Location yako ikiwemo mkoa ulipo na uwezekano wa kumfuata mteja alipo

2. Wateja wako ni wanafunzi wa chekechea, msingi, sekondari au chuo.

3. Malipo yako ni kiasi gani na unalipwa kwa siku, wiki, mwezi au mwaka.

4. Jinsia yako

5. Experience yako ya ufundishaji na mafanikio uliyowahi kupatia watoto kwa kuwafundisha. Hata kama hujawahi kufundisha ndio unaanza basi say so na ukweli wako utakulipa

Siri ya well written tangazo ni kubwa Sana mdogo wangu. Hebu kaa Chini andika tangazo zuri. Kuna mtu hata kama hajawaza kumtafutia mtoto wake tuitions anaweza kabisa vutika sababu ya tangazo lako
 
Ticha mbona tangazo lako umeliweka kama ni kitu Haramu. Mbona unaandika kama hauko sereous mwalimu.

Jaribu kujiuza zaidi kupitia tangazo lako. Liandike in such a way umkomvisi mtu akuletee mtoto wake, usimpe mtu nafasi ya kudauti uwezo wako.

Katika tangazo lako ilitegemewa vitu vifuatavyo viwe clearly stated:

1. Location yako ikiwemo mkoa ulipo na uwezekano wa kumfuata mteja alipo

2. Wateja wako ni wanafunzi wa chekechea, msingi, sekondari au chuo.

3. Malipo yako ni kiasi gani na unalipwa kwa siku, wiki, mwezi au mwaka.

4. Jinsia yako

5. Experience yako ya ufundishaji na mafanikio uliyowahi kupatia watoto kwa kuwafundisha. Hata kama hujawahi kufundisha ndio unaanza basi say so na ukweli wako utakulipa

Siri ya well written tangazo ni kubwa Sana mdogo wangu. Hebu kaa Chini andika tangazo zuri. Kuna mtu hata kama hajawaza kumtafutia mtoto wake tuitions anaweza kabisa vutika sababu ya tangazo lako
Thanks Kambako for your constructive comments.
I am a male teacher, offering home tuition services since year 2000, here in Dar es salaam. I deal with primary school and secondary school students, specifically science and maths for primary pupils and chemistry, physics and maths for o' level students. Terms of payment is negotiable and depends on my client's interest, paying either weekly or monthly.
My services includes devising and suggesting suitable learning methods to struggling students. You are welcome.
 
Thanks Kambako for your constructive comments.
I am a male teacher, offering home tuition services since year 2000, here in Dar es salaam. I deal with primary school and secondary school students, specifically science and maths for primary pupils and chemistry, physics and maths for o' level students. Terms of payment is negotiable and depends on my client's interest, paying either weekly or monthly.
My services includes devising and suggesting suitable learning methods to struggling students. You are welcome.
Mwalimu kwa nini usitumie tu lugha ya kiswahili?

Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom