Hoja Tatizi

mnavira

Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
22
Reaction score
13
Kufuatia zoezi na maombi ya kuchangia fedha kwa ajili ya TAULO ZA KIKE Maarufu Pedi kwa ajili ya wanafunzi iwe shule ya msingi au sekondari nahoji: 1. Wakati umefika kwa kina baba nao kushiriki kutoa elimu kwa watoto wao wa kike namna ya matumizi? 2. Wakati sasa familia kupanga bajeti za pedi kwa mabinti zao? 3. Serkali iweke fedha za pedi kwenye kile kiitwacho Elimu Bure? 4. Kina Dada, tueleze kuna ubora gani kati ya pedi za asili na hizi mpya? Nazi njema
 
Nyorosha maelezo mkuu hata sijaelewa
 
Mkuu wa kaya alikataza kuchangia na anaweza kuwaambia" kwani mimi ndiyo nimesababisha" refer tetemeko kagera
Ila ni vyema kushiriki kwa serikali kwenye issue hii kwa kuondoa kodi 100% kuweza kuwasaidia dada na watoto wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…