FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,417
- Thread starter
-
- #21
We F1 ulisoma st.? si ulisoma kwa kina Kayumba?
Tatizo wazazi wengi wanawapeleka watoto wao st. alafu huku kwa kina Kayumba wanakufumbia macho na hawakupi msisitizo bora yeisheeeeeeeee ndo hapo chacha tutakuwa na taifa mbumbumbu miaka 20 ijayo.
mie jamani nimesoma hizo hizo St. halmashauri lakini anagalau zilikuwa reliable sio kama siku hizi.............Hahaha mie nimesoma ya Kayumba Fidel80 nimeisoma sana ila baba yangu alikuwa na kawadhifa kadogo upande wa elimu ..nilibahatika ..
FL1, Asante kwa kuliona hilo tatizo. Hili ni tatizo sugu litakalosumbua taifa kwa sasa na kizazi kijacho. Nakumbuka kuna usemi wa baba wa taifa usemao - (mtanzania bado hana elimu mbadala ya kuchimba madini, tuyawache huku chini maana hayaozi na wakati ukifika mtanzania mwenyewe atayachimba wakati akiwa na hio elimu ) Hapa nazungumzia elimu ambayo mpaka sasa mtanzania hana na serikali imelifumbia macho swala hili la elimu. Mkazo wa kujenga shule za kata pasipo na walimu wenye taaluma ya kutosha ina maana gani ?? unakua na ( majengo + wanafunzi + walimu voda fasta tena wawili shule nzima = uwiiiiiiiii sifuri ) Serikali lazima ibadilike kuhusu suala la elimu, mtanzania asipokua na elimu madhubuti ni kwamba taifa linaangamia !!! something has to be done somewhere hukoo mjengoni Do..
mbele kuna chui, nyuma simba, pemebeni sijui faru na tembo.........
Mmh nafikiri pembeni kuna mto wenye mamba, viboka na bahari yenye papa na nyangumi.
you have said all my dear, sasa uniambie kama una pakugeukia kama si kukata tamaaa usubirie anayekuwahi................
tatizo ni kuwa kadri tunavyozidi kulala iko siku watu wataamka vichaa pakawa hapatoshi maana siye hatuna tena pa kukimbilia. Majirani zetu wanaotuzunguka wote tumewapokea makambini, wengine tumewasaidia kupata uhuru, na mambo mengi mazuri tunayo ya kujivunia kwao lakini je siku patakapokuwa hapatoshi wanaweza kweli kutupokea?
Maana hao majirani zetu kielimu naona wanakwenda kasi tena wanaitafuta kwa bidii sio ya kufoji ukizingatia wengine kama Rwanda wametoka kwenye vita lakini si haba wanajitajidi kuvuta kasi maana wanajua wanachokifanya kwa manufaa ya nchi yao. je sisi?
Huenda ndio wa kawa wa kwanza kusema si mlikuwa mnajidai eti pici, pici sasa kikowapi wakatucheka na kutuzodoa.
u're right wa kwanza mara nyingi huwa wa mwisho.peace my foot!!! nachukia kweli mtu akitumia halo ka-defence eti peace.....
mi nalala macho sijui wanangu watasomaje, watakulala nini, watalala wapi afu unaniambia nina amani..ipi hiyo????
wa kwanza atakuwa wa mwisho
rwanda haoooooooooooooooooooooooooo pamoja na vita walopigana tutaachwa sie hivi hivi