Nimewona Humpheri PolePole akionesha makaratasi ya malipo ya faini ya Dr.Mashinji na kwa furaha,Bashasha bila tashwishwi anaongea na waandishi wa habari kuwaarifu kuwa CCM imemlipia faini Dr.Mashinji.Nimejiuliza maswali hivi polepole anajua kua CCM chini ya mwavuli wa serikali ndio custoadian wa sharia za nchi.
Anajua CCM kumlipia faini Dr.Mashingi ni sawa na kusema mweneyekiti wa CCM ambaye ndiye Raisi ameruhusu mwanae mmoja tu kati ya kumi na wawili ndio atoke gerezani huku akiwabagua wenegine kwa makosa yale yale?.
Anajua kuwa tafsiri yake ni kua Dr.Mashinji alionewa na Polisi,DPP,AG office na mwisho na mahakama?.
je huo ndio utakuwa utaratibu wa CCM Mkuwalipia wanachama wake waliotiwa hataiani?Sijui PolePole AMETUONESHA NINI ni ujinga wangu wa kutolewa mambo japo naona Chadema jana wametega mtego CCM imenasa wangeweza changa fedha kisiasa lakini kuitangaza wametuoneesha kua kilichoshitakiwa sio makosa yaliyofanywa bali ni chadema.
Anajua CCM kumlipia faini Dr.Mashingi ni sawa na kusema mweneyekiti wa CCM ambaye ndiye Raisi ameruhusu mwanae mmoja tu kati ya kumi na wawili ndio atoke gerezani huku akiwabagua wenegine kwa makosa yale yale?.
Anajua kuwa tafsiri yake ni kua Dr.Mashinji alionewa na Polisi,DPP,AG office na mwisho na mahakama?.
je huo ndio utakuwa utaratibu wa CCM Mkuwalipia wanachama wake waliotiwa hataiani?Sijui PolePole AMETUONESHA NINI ni ujinga wangu wa kutolewa mambo japo naona Chadema jana wametega mtego CCM imenasa wangeweza changa fedha kisiasa lakini kuitangaza wametuoneesha kua kilichoshitakiwa sio makosa yaliyofanywa bali ni chadema.