Hivi Papa mopao, coffi ollomide anatoa ujumbe gani kwa wanamuziki wetu?

kALEnga kidamali

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
542
733
Huyu mutu ya Kongo, naona kama anataka isimamisha nchi kwa muda kidogo hasa kwenye burudani ya mziki wa dance, sasa hivi kila upitapo utasikikia papa mobimba yeee papa mobimba yeeee, Mara papa yuko hotelin anafanya press na waandishi wa habari... Yaan ni kama anaiteka jamii ya wanamuziki kwa muda.

Sasa katika hili, wabongo tunafeli wapi, haiwezekani papa 4lolo Leo hii licha miziki yao ya kikongo kuwekwa kando kidogo na jamii yetu, ila yeye ameifanya jamii yetu imakinike naye tena hata hiyo show yake unaambiwa kiingilio ni laki moja.

Wako wapi akina alichoki, badi bakule, Jose Mara, twanga,waziri sonyo,n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mutu ya Kongo, naona kama anataka isimamisha nchi kwa muda kidogo hasa kwenye burudani ya mziki wa dance, sasa hivi kila upitapo utasikikia papa mobimba yeee papa mobimba yeeee, Mara papa yuko hotelin anafanya press na waandishi wa habari... Yaan ni kama anaiteka jamii ya wanamuziki kwa muda.

Sasa katika hili, wabongo tunafeli wapi, haiwezekani papa 4lolo Leo hii licha miziki yao ya kikongo kuwekwa kando kidogo na jamii yetu, ila yeye ameifanya jamii yetu imakinike naye tena hata hiyo show yake unaambiwa kiingilio ni laki moja.

Wako wapi akina alichoki, badi bakule, Jose Mara, twanga,waziri sonyo,n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Papaa mopao ni mtu mwingine kabisa kwenye tasnia ya muziki wa rhumba anazaidi ya miaka 20 ameng'ang'ania kileleni.Sio mwanamuziki wa kushughulishwa na akina waziri sonyo,

Anamiliki bendi yake mwenyewe, amewatoa kimuziki mwanamuziki kama falii,,anakubalika africa nzima,ni mwanamuziki tajiri na anaheshimika sana ndani ya congo kama mfalme wa rhumba,
Akitumbuiza mahala basi lazma mji usimame

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jumbe ni nyingi lakin moja wpo ni hii.
Wasanii wetu wako overated sana kuliko uhalisia.Uwezo na vipaji vyao wemfi wao ni vya kawaida sanaaaaaaaa hivyo hawapaswi kulewa sifa pind wanapoanza kupata mafanikio machache .Wanapaswa kuendelea kujifunza na kufanyabkazibkwa bidiiii.

Waache kujiona kuwa wamefika na kuanza kukumbatia starehe nq kusahau kazi zinazowapa jeuri ya hizo starehe..

Watumie faida wanayopata kuwekeza kwemye taak9uma na ujuz wa kazi zao zaid ili wawe wafanis zaid ili wapte kufanya vizur zaid na hatimae wanufaike maradufu...

Wanawake na pombe ndio sumu ya maendeleo yao.Waache umalaya na ulevi.Wanywe kwa kiasi...wasikimbilie kumiliki vitu vya gharama kumaintain wakat hawna stable flow kwenye uzalishaj

NB
1. wafanye ushirikina wa kisomi sio ushirikima wa kiswahil
2. Waache ushamba
3. AKIBA HAIOZI
 
Fanyia jambo kupenda wala si kwa ajili ya pesa. Jamaa anaipenda sana kazi yake ndio maana hataki mchezo akajifunza karate ili ukileta za kuleta unakula za mbavu. Hivi jiwe atahudhuria?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom