Piga kibiriti..Mi nilishavichoma tangu nianze biashara ya vifuniko..
Training tunaanzia kwa wake zetu..Haina haja ya kupoteza pesa..
Yeah..Tufungue na Massage center
Hahahahhah! Umenielewa vibaya.
Viko wapi??Karib ununue vfuniko vya asali
Kwamba siku hizi wanawake wamekuwa wavivu kiasi cha kulipa mtu awasafishe miguu? Wanaume muwe mnawa massage wake zenu mara mojamoja, maana ndicho wanacho wafanya wafanye hizi taratibu hatarishi.Habarini wakuu.......
Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?.......
Yani nimepita hapa makoroboi kuna mmama mtu mzima tu yani anasafishwa kucha kavaa bonge ya mini ,mapaja yote yako wazi alafu kakaa sehemu ya wazi kila anayepita anamuona ......
Siyo poa! Tubadilike
Habarini wakuu.......
Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?.......
Yani nimepita hapa makoroboi kuna mmama mtu mzima tu yani anasafishwa kucha kavaa bonge ya mini ,mapaja yote yako wazi alafu kakaa sehemu ya wazi kila anayepita anamuona ......
Siyo poa! Tubadilike
Bro fungia vyeti kabatini tukapige hii kazi...Inaonekana ina marupurupu mengi
dyduu la yuyuDudu gani jamani
Kuna siku niliona huyo dada kajiachia halafu hajavaa kufuli hana habari mwenyewe. Aibu niliona mimi
Usiku wa leo ulikuwa wapi..Mbona sijakuona??
Tunapishana bhanaaUsiku wa leo ulikuwa wapi..Mbona sijakuona??
Kinacho wekewa ndani/chomekewa duchelele...PUTINHivi papuchi ni nini?
Leo ntakesha basiTunapishana bhanaa
SijaelewaKinacho wekewa ndani/chomekewa duchelele...PUTIN
Leo ntakesha basi
Kama upo dsm maeneo ya mwengeWapi hapo wenda nami naweza safisha nyota na kuongeza bahati
Mpeleke mkuuKama upo dsm maeneo ya mwenge