B bcsolution JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 394 Reaction score 177 Mar 31, 2014 #1 Mzozo mkubwa hapo ... jamaa alikuwa anapakia mzigo hapo wakampiga pini ... je ni sawa? Attachments 1396255277447.jpg 71.4 KB · Views: 154 1396255303395.jpg 51.9 KB · Views: 134 1396255329900.jpg 75.6 KB · Views: 123
B bcsolution JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 394 Reaction score 177 Mar 31, 2014 Thread starter #2 Hapo ni mtaa wa lindi na sswahili kariakoo gerezani ...
bily JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 8,029 Reaction score 5,813 Mar 31, 2014 #3 Hao watu wote wanashangaa nini au ndio kusema hawana kazi ya kufanya ? By the way inategemeana umepaki sehemu ambayo imekatazwa na wewe aujajua Pole sn mkuu najua kibongo bongo mtamalizana tu ila usilete utemi.
Hao watu wote wanashangaa nini au ndio kusema hawana kazi ya kufanya ? By the way inategemeana umepaki sehemu ambayo imekatazwa na wewe aujajua Pole sn mkuu najua kibongo bongo mtamalizana tu ila usilete utemi.
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Mar 31, 2014 #4 Sio sawa, mwenyewe si yupo hapo hapo muda wa tukio - ni kiasi cha kumfahamisha usipakie mzigo hapa, atakapopingana na kauli kitachofuata ni pini Sababu alishatahadharishwa akakiuka
Sio sawa, mwenyewe si yupo hapo hapo muda wa tukio - ni kiasi cha kumfahamisha usipakie mzigo hapa, atakapopingana na kauli kitachofuata ni pini Sababu alishatahadharishwa akakiuka
F famba Member Joined Mar 21, 2013 Posts 71 Reaction score 4 Mar 31, 2014 #5 Sasa unafikir tutakula wapi???
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Mar 31, 2014 #6 dawa yao kuwaitia wezi tu....
B bcsolution JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 394 Reaction score 177 Apr 24, 2014 Thread starter #7 Leo tena ...hawa jamaa wa parking imekuwa kero kwa sababu huwa wanajificha ili mtu apaki wampige pini, alama wamezitoa zilikaa siku 2 tu zikayeyuka. Attachments 1398328160555.jpg 69.4 KB · Views: 51 1398328196442.jpg 74.9 KB · Views: 49
Leo tena ...hawa jamaa wa parking imekuwa kero kwa sababu huwa wanajificha ili mtu apaki wampige pini, alama wamezitoa zilikaa siku 2 tu zikayeyuka.