Hivi ni kweli?

Marry Mdaki

Member
Joined
Aug 26, 2022
Posts
25
Reaction score
23
Nimeshtushwa na chapisho linaloonesha orodha ya nchi zisizokuwa na furaha duniani.

Nilishangaa zaidi kuiona nchi yetu, lakini nilipigwa na butwaa zaidi baada ya kutoona nchi kama Sudan, Somalia, Congo, Ukraine, Urusi.

Labda ningependa kuuliza kuwa ni vigezo vipi vimetumika kupata orodha hiyo ya nchi zenye wananchi wasio na furaha duniani?
 
Sasa kwa nchi kama Tanzania, chini ya utawala wa CCM hiyo furaha unaipata wapi? Labda uwe mfanyabiashara mkubwa, au kada mwenye nafasi kubwa ndani ya chama, au serikali!

Kinyume na hapo, basi ni kilio tu kupitia tozo na kodi zisizo na kichwa, wala miguu.
 
Siku nyingine wataleta takwimu za nchi zinazoongoza kwa kujamba Sana,nchi zinazoongoza kwa wananchi wake kupiga puli etc

Siku hizi Kuna takwimu za kipumbavu Sana.
 
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† Sie kila mwaka tupo, mkuu wale washakubali hali halisi sie hatujakubali ndio maana kila mtu analalamika, Rais analalamika, mawazili, wabunge, viongozi wa dini wananchi wote wanalalamika sasa nani mwenye furaha
 
K
Kweli kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…