ndo namsikia leo to be honesty
Huyu msanii ni kutoka Uganda, video zake zote ni full ngono.kuanzia swiming pool,farm,china,best man na sasa kaachia moja inaitwa sauna hakika weka mbali na watoto,ukikutwa unaitazama ndoa inavunjika kabisa. nataka kujua hizi vieo zinaruhusiwa kuchezwa katika TV na kuuzwa kama hizi za akina Alyy Kiba?
Tazama kidogo