Ndio..HIV/AIDS kwenye stage za tatu na nne husababisha kupungua kwa kinga ya mwili.Hii hupelekea magonjwa nyemelezi ikiwamo ya kwenye kinywa.Mfano Oral Thrush husababisha kuvimba kwa fizi na hakutokwa vidonda pamoja na harufu mbaya mdomowadau je kuna uhusiano wowote kati ya harufu mbaya ya kinywa na maambukizi ya HIV/AIDS?