pangakali 2
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 239
- 221
Habari wana jukwaa. Ninahitaji kiwanja cha makazi DSM eneo laweza kuwa kuanzia Kimara hadi Standi mpya ya Maili Moja Kibaha umbali kutoka Barabara ya Morogoro usizidi kilometer moja.
Nitakutafuta mkuuNinacho Kibaha misugusugu umbali 2km kutoka Morogoro road bei rahisi sana 1.8m kiwanja cha 20x20. Unaweza kuunganisha hata zaidi ya kimoja. Maelezo zaidi piga 0685401051 karibu sana hata yeyote anayehitaji
Karibu sanaNitakutafuta mkuu