Simpendi makonda, hasa kuwa mtu wa kupenda masherehe sana wakati kipindupindu kikipiga kasi,eti sherehe ya kuwapongeza polisi, only in Tanzania unawafanyiaje sherehe watu wanaotimiza wajibu wanaopaswa kutimiza. Simpendi huyu siyo cr?ative yeye anapenda kula kula tu na masherehe