"MGOGORO WA CONGO DRC
miezi michache baada ya kutoa hotuba UN, Che
alitoweka katika maisha ya kawaida public life na
hakuna aliyejua alikwenda wapi mpaka baadae
ilipokuja gundulika Che alikuwa akipigana sambamba
na Laurent Kabila huko Congo dhidi ya wabeligiji na
baadhi ya wapiganaji wa ki cuba waliokuwa Afrika,
vita ambayo ilishindikana na akakimbilia Tanzania na
kukaa maeneo ya karibu na ziwa Tanganyika na
baadae Dar es salaam huku akiishi kwa kujificha"
Mwaka 1965 Ernesto Che Guevara ns Laurent Kabila wapi na wapi? Please check your facts