Unajua sisi watu wenye future huwa tunajikinga sana na kujali maisha yetu. Nilipokuja Tanzania kuishi from Sweden nlikuwa namekuja na vifaa vyangu vya kupimia afya, HIV/AIDS na mengine ambayo ni ambukizi.
Nikampata dada mmoja yeye baba yake ni Mkurugenzi kampuni fulani nikamwambia twende tukapime damu na kinywa pia ili tuwe huru kuwa wapenzi.
Tukapima siku ile Aga Khan then nliporudi naye home nikampima tena, maana vifaa vyangu kama mtu amepata ugonjwa saa moja lililopita inaonesha na kuanza sex rasmi.
Huyu dada alichoka kuwa akija kwangu kabla ya sex wote tunapimana ili tusiambukizane hata UTI. Siku nimempima nikamkuta na UTI nikamwambia muda huo huo twende tuingie kwenye Range Rover twende hospitali, nlimwambia ntamlipia nimpeleke Aga Khan kule town.
Akaanza sababu, mara akasema hataki tupande Range Rover anataka twende na Mercedes Benz. Nikamwambia sawa, akanambia aaargh basi, mi staki ntaenda kesho mwenyewe.
Mimi kwa huruma nikamwambia "Baby nakujali sipendi uwe na ugonjwa wowote" alinijibu jibu ambalo nalikumbuka sana. " Aaargh we nawe una complicate sana issues, wenzio mbona walikuwa wanasex tu na hawaumwi? Wewe kabla ya sex unataka kupima kila mara, unanikata stimu"
Basi nlipomrudisha kwao siku hiyo ndo nlipo block namba zake, niliona huyu dada kama yeye hajijali, mimi atanijali vipi?
Unajua sisi wengine we have full life now and ahead, we have a lot to lose. Sasa habari za sex zembe zinakuwa ngumu sana kwangu, ukichukulia nipo fresh na vipesa kidogo vipo pamoja na akili. Then why nife kwa kitu ambacho kinakingika?
Mi hata romance mpaka kwanza nihakikishe nimempima girlfriend wangu kinywa ndo tutaanza hayo mambo.
Maisha yenyewe ndo haya haya hamna mengine. Lets spend it wisely. Tz mnatunyima nini? Nmekaa sana nje ya nchi nahisi ntaanza tena sahau mitaa ya DSM.
I miss you guys.