Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,521
Mkuu mimi huwa sibahatishi, nawaletea rekodi mbali mbali. Nimebahatisha kivipi huku nilileta mbili za dk 41 na 47
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu, wewe sasa ni makamu bingwa.Mkuu nimeshakujibu hiyo ya Sekunde 41. Siku nikitulia nitashusha ya 40 seconds au pungufu.
Na mimi nimeutafuta sana aiseee kumbe sikuwa peke yanguHuu uzi waliuficha wapi? Kumbe upo nimeutafuta sanaa aisee
Msijifu wakati tu muda mwingi mna-undo hilo drafti. Halafu msilibanie muda wakufikiria mkajipendelea nyinyi. Kama wewe unatumia maximum sekunde 15 kufikiria basi na drafti liseti muda kama huo, hapo sasa ndo utajijua kama kweli ni bingwa au la. Japo kiuhalisia hata ukilifunga drafti hili kwa ku-undo wewe bado mkali.
Nipe mbinu bossKumbe ni mlaiji snView attachment 1598828
bado napambana lakini nashindwa kabisa kumfunga.Hii kopi mwamba nilimkalisha ndani ya dk2.5..japo alinipiga fosi moja ya kibabe lkn mwisho wake alikaa...
Zingatia mambo yafuatayo
1.Hakikisha hakupunji kete hata moja...kila kete unayosukuma hakikisha inabackup ya kuilinda isiliwe bure
2.Mwamba anafosi za mbali sn kwahy hakikisha upigwi fosi za kizembe...mda wowote kua makini na fosi na kupigwa tutusa ambazo zitapelekea kuounjwa kete
3.Hakikisha uchezi gemu ya kubanana kwasababu mwisho wa siku utatengeneza mimba na mwamba ni mzuri san katika kutumbua mimba...na pia ni ngumu sana kumshinda kwenye stepu
4.Usiwe na tamaa sana ya kuwai kufika king na pia usiwe mgumu sn wa kumyima kingi bila ya sababu kwasababu mabigwa uwa atunyimani kingi tunanyimana ushindi
This is incredible