Ndio najiuliza, tarehe moja January ni sikukuu ya kiserikali? kidini? au binafsi? Kama ya kiserikali mbona sioni gwaride likiwepo. kama ya kidini, dini ipI na kwa msingi upi. Na binafsi inaanza anzaje?
Ndio najiuliza, tarehe moja January ni sikukuu ya kiserikali? kidini? au binafsi? Kama ya kiserikali mbona sioni gwaride likiwepo. kama ya kidini, dini ipI na kwa msingi upi. Na binafsi inaanza anzaje?