Hii ni kweli au macho yangu?

Daaaah!baba hapo lazma. Umtafute,maana hapo mm na mautundu yangu yote nmechoka hapo kaka'alafu ukute kapaki mbele ya mlango wa kutokea ndan ya nymba!nimeilike hiyo mkuu'
 
Njia pekee hapo atafuta watu wainue sehemu ya nyuma ya gari na kuirudisha chini
kwenye nafasi. Kisha unakula rivasi moja kali huyoooo!
 
Apo ata aje wa transpoter haitoi kwa vyovyote amtafute na ampe chake akitaka usalama.
 
Hapo boss lazima ukae.Lakini hata huyo dereva ni noma sana,sijui hata kachomekea vipi hapo,na je akipewa chake ataweza kulichomoa hapo?
 
Hilo mbona linachekechwa hadi linatoka? Afike Dau Wakaksi tupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…