Kujiajiri muhimu saaana ...hv ni dharau au ni nn?? Mbona vitengo vingine wametangaza ajira?? Ni nn hcho wanachokipanga tokea mwez wa tano mwaka Jana hakijakamilika??? Binafsi Mm nlikua navumilia tu nikijua ni February lakini nimezinduka kuona February inapita....BC huku kitaa wanaambiana huenda nilifeli..