HESLB

cmomwa

Member
Joined
Jun 19, 2016
Posts
55
Reaction score
8
Jamani wana jf wenzangu ningependa kujua kama allocation ya mikopo ishafanyika batch1 bado au tayari.
 
hahhhh shukuru hicho kdg wengine hata allocation bado
Asa kama ashukuru hichohicho cha tuition fee 0 wewe kwanini unalilia kujua allocation wakati una uhakika wa kupata 0 and above?
Au haukuona aliposema tuition fee ni 0?
 
Jamani mm kwenye majina ya kwanza waliopata mkopo nipo ila jina language kwenye loan allocation halipo hii imekaaje chuo sua
 
Jamani mm kwenye majina ya kwanza waliopata mkopo nipo ila jina language kwenye loan allocation halipo hii imekaaje chuo sua
Mkuu usiwaze, mkopo utakua umepelekwa chuo kingne, angalia vzr admission yako
 
Wa bodi wanautan kweli yan mtu analipiwa ada tu na ada yenyewe kapewa elf 70
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…