Unadaiwa shilingi 4,654,575.95
Ambapo, jumla ya mkopo wako ni 10,404,800.00
Pesa ambazo umelipa mpaka sasa 6,265,610.00 inabaki 4,139,190.00 jumlisha na jumla ya gharama za ziada (charges) 970,385.95 inakuwa sawa na 5,109,575.95 halafu toa kiwango kilicholipwa sasa sh. 455,000.00 unabakiwa na deni la sh 4,654,575.95
Mkuu, naomba kuwasilisha.