Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Huyu si mama kabisa hata ndoa alikuwa mke wa tatu reject! Mrupo mkubwa umezaa na jakaya na wengi wengineo! Ana majeraha makubwa ya wanaume waliokula na kuacha na sasa yuko kwenye state of denial ya kufa mtu! Ni Jexebel proper
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.