Thx, pia hospital amejaribu kwenda tena sehemu mbalimbal na madaktar wote aliojarbu kuwaona wanamwambia ni tatzo la hormone imbalance hvyo atumie dawa za majira miez mitatu, alijarbu kufanya hvyo na kwel alpata siku zake mwez mmoja tu baada ya hapo hakuna tena, ngoja tuendelee kuwaona madaktar km unavotushauri.Thx sana