migogoro inayoendelea mtwara ni vema ikatatuliwa kwa njia za diplomasia,na si kutumia nguvu. Viongozi wakae na watu wa mtwara , wawasikilize madai yao,wawaelimishe na nafikiri watawaelewa tu viongozi wao. Na wanasiasa nao wasishabikie swala hili. Si fahari hata kidogo kushabikia swala hili.