Hebu soma dialogue hizi za wanandoa vijana wa hapa uswazi kwetu.

Wewe ni muongo, hakuna konda wa malori mwenye tabia hizo........................
halafu mbona mnapenda sana kutusengenya sisi watu wa uswazi............. Nitapiga mtu hapa siku moja..! ooohooo nyie endeleeni tu.....................LOL



Mzee Mtambuzi punguza hasira usije ukavunja kompyuta yako.....
 
Last edited by a moderator:

interpretation yako haiko sahihi,kwani uswahilini maana yake nn?ninavyojua mimi uswahilini ni kule wanakoishi waswahili,uzunguni wanaishi wazungu nk,so simaanishi vile wewe unavyohisi braa
 
interpretation yako haiko sahihi,kwani uswahilini maana yake nn?ninavyojua mimi uswahilini ni kule wanakoishi waswahili,uzunguni wanaishi wazungu nk,so simaanishi vile wewe unavyohisi braa

Umekwepesha eh...............!
 
Ndoa ina sehemu kuu tatu, kizungu, kichinachina na kienyeji. Ndoa ya hawa jamaa ipo ktk hatua ya kienyeji.
 
Jistori ja kubumba....

katika habari zote ambazo huwa naandika hapa mmu hakuna hata moja nimetunga na kamwe sitatunga,naandika vitu ambavyo eidha vimenitokea mm mwenyewe au kwenye jamii ninayoishi au kushuhudia mahali,hii stori ni ya kweli kabisa ndugu.
 
Ukiona wanandoa wamefikia hatua ya kila mtu;yani mke na mume anarudi muda anaotaka ujue hapo hakuna kitu.
 

Kwa nini una-generalize maisha ya ndoa ya huyo konda na mkewe huko uswahili kuwa ni matatizo na majibizano ya wanandoa wote kwenye jamii yote? Hapo mtaani kwenu kuna ndoa ngapi ambazo zinaenda vzr na wana ndoa wamekaa kimya? Kwa nini uchukulie mfano huu mmoja kuwatisha watu wasiingie kwenye ndoa? This is unfair!
 

nadhani horsepower hujaiona hiyo alama ya kuuliza,nimeuliza je haya ndio maisha ya ndoa?it's not a statement,it is a question,so sija generalise,by the way what is your opinion on this issue?
 
nadhani horsepower hujaiona hiyo alama ya kuuliza,nimeuliza je haya ndio maisha ya ndoa?it's not a statement,it is a question,so sija generalise,by the way what is your opinion on this issue?

Opinion yangu ni kuwa maisha ya ndoa hayako hivo hata kidogo. Wapo wachache wanaosumbuliwa na matatizo ya ndoa kutokana na kushindwa kuwaelewa wenzi wao na kushindwa kuvumiliana, lakini ni asilimia ndogo sana kulinganisha na wale wenye ndoa zilizotulia ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…