Ukweli ni kwamba, kwa mtindo wa serikali tuliyonayo hakuna haja ya kupewa misaada.
Bajeti inayopitishwa na Bunge huwa ni maelezo tu ambayo hayafuatwi hata siku moja. Kwangu mimi mwananchi sioni sababu yoyote ya kuomba au kupewa misaada. Naomba sana wakomae ili tujifunze kuendesha serikali na hasa kipindi hiki kifupi kabla ya 2015.
Rais Moi wa Kenya alipobanwa mbavu, alijifunzxa na leo hii Kenya inaendesha nchi kwa bajeti ya kodi zake. Pale Z'bar tulipobanwa kwa zile vurugu, adabu ilikuja na tukazitafuta pesa ktk kodi. Iweje leo tunaweka rais anayejivunia safari za kuomba misaada?
Eti safari Za Rais ni za manufaa. yapi?