Mkuu hii sayansi naikumbuka kwa mbali.... labda tu kuwa pamoja... ina maana wale funza wa chooni kama vyoo vya shuleni baadae (saint Kanumba) wanageuka kuwa nzi wakifika stage ya 4?
Mkuu kuna species mbalimbali za flies wanaoishi na kutaga mayai mazingira tofauti tofauti,funza wa vyooni hutokana na aina mbili za flies ambao ni housefly(Musa domestica) na Blowfly,hawa upenda kutaga mayai sehemu zenye uozo(wa mimea na wanyama)na kwenye vinyesi,mayai yatabadilika kuwa maggots(larva stage) ambao ndio funza na kama watapata nutrients wakikamilisha stage zilizobaki uwa inzi ingawa si funza wote wa chooni hubadilika kuwa inzi kuna baadhi hufa.