J Jeho JF-Expert Member Jul 2, 2011 5,053 5,504 Jun 4, 2019 #2 Wakajibebe sasa. Wasiishie kujiita wa kimataifa huku wakishindwa kufikia hatua ya makundi.
squirtinator JF-Expert Member Sep 20, 2015 2,765 4,174 Jun 4, 2019 #3 cha ajabu sasa hivi wako bize kumkoleza mafuta yule mzee kalomoni avuruge kambi.
A Albinoomweusi JF-Expert Member Oct 28, 2016 3,189 8,217 Jun 4, 2019 Thread starter #4 squirtinator said: cha ajabu sasa hivi wako bize kumkoleza mafuta yule mzee kalomoni avuruge kambi. Click to expand... Kina nani hao
squirtinator said: cha ajabu sasa hivi wako bize kumkoleza mafuta yule mzee kalomoni avuruge kambi. Click to expand... Kina nani hao
squirtinator JF-Expert Member Sep 20, 2015 2,765 4,174 Jun 4, 2019 #5 Albinoomweusi said: Kina nani hao Click to expand... yanga
M Marco maganga New Member May 28, 2019 3 1 Jun 4, 2019 #6 Albinoomweusi said: View attachment 1117555 Click to expand... SIMBA anyanyua wawili TPL
M Marco maganga New Member May 28, 2019 3 1 Jun 4, 2019 #7 Vyura waliibeza sana SIMBA SC kimataifa Leo hii wanachekelea Albinoomweusi said: View attachment 1117555 Click to expand...
Vyura waliibeza sana SIMBA SC kimataifa Leo hii wanachekelea Albinoomweusi said: View attachment 1117555 Click to expand...
A Albinoomweusi JF-Expert Member Oct 28, 2016 3,189 8,217 Jun 4, 2019 Thread starter #8 Marco maganga said: Vyura waliibeza sana SIMBA SC kimataifa Leo hii wanachekelea Click to expand... Achana nao ombaomba hao sisi Tunatenda wema hatungoji shukrani
Marco maganga said: Vyura waliibeza sana SIMBA SC kimataifa Leo hii wanachekelea Click to expand... Achana nao ombaomba hao sisi Tunatenda wema hatungoji shukrani
pachachiza JF-Expert Member Oct 18, 2012 1,847 2,738 Jun 7, 2019 #9 Ujinga ni kuwaza kuwa simba ishaingia group stage na hakuna timu inaweza kufanya hivyo. Ndio maana hiyo timu mashabiki wanaitwa mbumbumbu
Ujinga ni kuwaza kuwa simba ishaingia group stage na hakuna timu inaweza kufanya hivyo. Ndio maana hiyo timu mashabiki wanaitwa mbumbumbu
Chukwu emeka JF-Expert Member Jan 12, 2018 23,413 36,573 Jun 7, 2019 #10 Nenda kachukue hati kwa Mzee Kilomoni, achana na Yanga,mmeibeba kmc siyo Yanga