Anapendwa vibaya hukoHa ha kuna jamaa alikuwa ananipa story za jamaa nikajua chai [emoji3]
Hakika, Janja kaupiga mwingi mimi huwa napenda kumsikiliza japo hapo kati alitoa boko nilivumilia.Kuna huyu dogo toka Makambako, huw nasikia ni maarufu sana huko Iringa. Mimi siku zote ni shabiki wa muziki mzuri, kuna kipindi nilijaribu kumsikiliza ila sikuambulia chochote....
Muelekeze jinsi ya kulipia kama wewe unavyo lipia yale ya wasafiLipia tangazo