Kapime DNA.inawezekana akawa si MWANAO.Hapo ni fimbo tuu na kupelekwa veta tu ... C anapenda mapenziii
Yatakuja kumkuta mwanao.ipo SIKU.Private school hazipo, veta na evening classes, peleka mzazi huko waache watoto wa serikali wasome bila kushawishika na tamaa ulizozipata
Translating from kiswahili?The birds of the same feathers flock together
1: Atakuwa aliitafuta mimba( alivua nguo zote,Uzi hauwezi kuingia kwenye tundu la sindano inayotikiswa.KWA MFANO MTOTO WAKO AKIPEWA MIMBA AKIWA MWANAFUNZI.UTAJISIKIAJE NA MAGUFULI AMESHASEMA.HAKUNA SHULE?
Una hakika na huyo baba uliyenaye kama ni babako kweli? Jaribu kujilinganisha vidole vyako na vyake. Kama havifanani usije kujiua.Kapime DNA.inawezekana akawa si MWANAO.
Dua la Kuku. Malezi mabovu.Yatakuja kumkuta mwanao.ipo SIKU.
wakenya ndio vichaa kwanza yakwenu yanawashinda ya bongo yanwahusu nin???Watanzia wengi vichaa.. Hii ipo wazi
Kwanini hasisome kwanza? Kwanini achanganye uzazi na masomo wakati hana kazi ya kutunza mtoto?KWA MFANO MTOTO WAKO AKIPEWA MIMBA AKIWA MWANAFUNZI.UTAJISIKIAJE NA MAGUFULI AMESHASEMA.HAKUNA SHULE?
Hivi mnahabari kama siku hizi kuna wanafunzi wanawabaki wavulana??NAKUBALIANA NAO 100%
MTOTO WA KIKE ANA HAKI YA KUPATA ELIMU.
MIAKA 30 JELA KWA MTIAJI MIMBA INATOSHA.
SIO NA MTOTO UMFUKUZE.HAPO HAUFUTI UJINGA.BALI UNAONGEZA.