Watu hamjui magari mmezoea vitz, hiyo gari ushuru pekee ni 38m+, cif c chini ya Dola 28 elf, sasa kama hamjui ni heri muulize. Au nunueni za saizi yenu
Mkuu ni wewe au mwingine, nakuona kama unayajuajua magari nashangaa ukishangaa harrier ya 2014 kwa 90M!! The price is spot on! Usilinganishe na Vogue, ziko class tofauti....hii ni daraja la eVogue, gari ambayo unaweza kuendesha kila siku around mjini kwa mafuta ya kawaida, Hizo zingine za safari.
Usiseme upuuzi kaka, kuna anae nunua lamborghini bei ambayo ni sawa ama zaidi (kulingana na dealer na nchi inaponunuliwa Lamborghini) na landcruiser 2014/15
Watu hamjui magari mmezoea vitz, hiyo gari ushuru pekee ni 38m+, cif c chini ya Dola 28 elf, sasa kama hamjui ni heri muulize. Au nunueni za saizi yenu
Watu hamjui magari mmezoea vitz, hiyo gari ushuru pekee ni 38m+, cif c chini ya Dola 28 elf, sasa kama hamjui ni heri muulize. Au nunueni za saizi yenu