Mkuu Mond alipotoka huko alikuwa anatoa mawe hasa , Ngoma kama nikimwona ikisikika kwenye spika tu inachafua Hali ya hewa , sasa huyu anatoka alafu anaibukia na UNO na maskendo kibao, sasa hv katoa tena mipasho , nahs kaishiwa mashairi au Hana mshauri mzuri