Harambee ya kujenga Kanisa

Lubaluka

JF-Expert Member
May 18, 2009
496
44
Askofu aliendesha harambee kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo wakatoa Tshs. 75,050/= tu. Ghafla majambazi wakateka kanisa na kuamrisha kila mtu atoe alichonacho!!!

Majambazi wakakusanya Tshs.8,945,800/= cash, kisha wakamkabithi Askofu ili aendeleze ujenzi wa kanisa.

Je, majambazi wana dhambi au wakristo wanathawabu ??

Toa maoni yako......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…