Happy Birthday to Me!

mimisa

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
2,511
Reaction score
1,441
Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuifikia siku ya leo,siku ambayo naadhimisha miaka kadhaa toka kuzaliwa kwangu.

Shukrani za dhati kabisa natoa wazazi wangu walonileta duniani..nawapenda sana.Marafiki zangu na member wote wa JF asanteni sana kwa uwepo wenu humu..nawapenda mnoo.

Mwenyezi Mungu atulinde sote na atujaze kwa baraka zake


Heri ya siku yangu ya kuzaliwa.
mimisa
 
Last edited by a moderator:
Happy Birthday mimisa.
Mie na my Hubby Ben Saanane twakutakia Baraka tele katika maisha yako.

HAPPY BIRTHDAY
 
Last edited by a moderator:
Heri ya Kumbukumbu ya Kuzaliwa rafiki mpendwa mimisa
 
Last edited by a moderator:
Lakini hukuwaeleza makosa yao ya kukudekeza kiasi ukakosa bahati ya kuniona mtoto wa Lindi ili ufaidi maisha. Happy birthday Dear
 
ha ha ha...usijali..ilo tunaweza lirekebisha saivi..asante sana
Lakini hukuwaeleza makosa yao ya kukudekeza kiasi ukakosa bahati ya kuniona mtoto wa Lindi ili ufaidi maisha. Happy birthday Dear
 
mimisa furaha na iwe kwako! Uwe na maisha marefu yenye baraka za aina zote na mafaniko pia. Upate kila unachokihitaji kwa kudra zake Mungu.
Kila la kheri.
 
Kila la Kheri katika maisha yako yanayoendelea.

Mungu wangu akupe baraka nyingi na zilete furaha zaidi!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…