Mkuu sio kitu cha ku convert. Kupata watts inabidi utupatie Voltage na Current na wala sio Voltage peke yakeConvert tu mkuu .
Hii ni 220V
Umeboa, Tatizo la kuwa ngwini na kujidai kujua mambo ya kisayansiConvert tu mkuu .
Hii ni 220V
Mkuu sio kitu cha ku convert. Kupata watts inabidi utupatie Voltage na Current na wala sio Voltage peke yake
boss hizo P = IV, W = AV siyaelewi kabisaaa .Now niko na buy & sell formular ,Haya niungishe boss wangu .Mkuu sio kitu cha ku convert. Kupata watts inabidi utupatie Voltage na Current na wala sio Voltage peke yakeConvert tu mkuu .
Hii ni 220V
Mkuu nashukuru umeona mapungufu ya jibu lako ingawa mteja aliyekuuliza swali la watts ngapi hujamjibu.Anyways nilikuwa najaribu kumsaidia mteja aliyekuuliza swali apate jibu stahiki.Barikiwaboss hizo P = IV, W = AV siyaelewi kabisaaa .Now niko na buy & sell formular ,Haya niungishe boss wangu .
Hope muulizaji amenielewa japo kidogo
Nimejibu kilichoandikwa kwenye specifications za device husika mkuu kwa kuwa watengenezaji wameonyesha tu kuwa kinaendana na standards za umeme za Africa .Umeboa, Tatizo la kuwa ngwini na kujidai kujua mambo ya kisayansi
Usijali mkuu nimeelewa ulichomaanishaMkuu sio kitu cha ku convert. Kupata watts inabidi utupatie Voltage na Current na wala sio Voltage peke yake
Mkuu nashukuru umeona mapungufu ya jibu lako ingawa mteja aliyekuuliza swali la watts ngapi hujamjibu.Anyways nilikuwa najaribu kumsaidia mteja aliyekuuliza swali apate jibu stahiki.Barikiwa
PamojaUsijali mkuu nimeelewa ulichomaanisha
Ok asanteNimekurejea mkuu .Nova hiyo ya pink ni ya 1000w
Deliya (black) ni 2200w.
Hizo pasi zake sijui