Hallotel bundle GB za kutosha

Hallotel bundle GB za kutosha

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
Wale wa halotel naomba unitumie text namba 0620416327 niwaunganishe na jamaa anaunga bundle kwa elfu kumi unakula gb 20 kwa mwezi,binafsi ameniunga na malipo nimetuma mpesa yani akiwa anaunga na wewe unatuma maana anaunga gb 1.5 mpaka zifike gb 20.

wahi fasta kunitumia sms nikuunganishe nae. Buku ten gb 20.

kama huamini watakaoungwa waludi kuthibitisha humu kama mimi,najilambia ma gb yakutosha hapa.
 
wale wa halotel naomba unitumie text namba 0620416327 niwaunganishe na jamaa anaunga bundle kwa elfu kumi unakula gb 20 kwa mwezi,binafsi ameniunga na malipo nimetuma mpesa ....yani akiwa anaunga na wewe unatuma maana anaunga gb 1.5 mpaka zifike gb 20.

wahi fasta kunitumia sms nikuunganishe nae. Buku ten gb 20.

kama huamini watakaoungwa waludi kuthibitisha humu kama mimi,najilambia ma gb yakutosha hapa.
Mtandao wanyewe umeshakuwa wa kishamba saana, kila cku wanashusha bando,,,nataka nirudi nyumbani kumenogo
 
Wakae tu na gb zao...tgo + voda znatosha
Mwanzo nilikuwa nawatumia lkn wameleta umbuzi.....nimetupa lain choon ili nisije wakumbuka
 
we njoo msikae kujifznya wajuaji, jaribu kitu na hudum unapewa unatuma ela....tatizo watanzania wengi waoga...kama unaungwa na wewe unatuma ela inakuaje!!!! jaribu uone mimi nimefanya ivo nafurahia.
 
wale wa halotel naomba unitumie text namba 0620416327 niwaunganishe na jamaa anaunga bundle kwa elfu kumi unakula gb 20 kwa mwezi,binafsi ameniunga na malipo nimetuma mpesa ....yani akiwa anaunga na wewe unatuma maana anaunga gb 1.5 mpaka zifike gb 20.

wahi fasta kunitumia sms nikuunganishe nae. Buku ten gb 20.

kama huamini watakaoungwa waludi kuthibitisha humu kama mimi,najilambia ma gb yakutosha hapa.
Kweli vyuma vimekaza!
 
Halotel sio mpango tena
ni kupoteza pesa tu kuwa na mitandao mingi
 
Kuna jamaa anaunga voda+tigo universty kwa laini ulionayo...nenden huko mnapata dakika za kutosha na gb za kutosha ....
 
wale wa halotel naomba unitumie text namba 0620416327 niwaunganishe na jamaa anaunga bundle kwa elfu kumi unakula gb 20 kwa mwezi,binafsi ameniunga na malipo nimetuma mpesa ....yani akiwa anaunga na wewe unatuma maana anaunga gb 1.5 mpaka zifike gb 20.

wahi fasta kunitumia sms nikuunganishe nae. Buku ten gb 20.

kama huamini watakaoungwa waludi kuthibitisha humu kama mimi,najilambia ma gb yakutosha hapa.
Tafuta grisi nyingine mkuu.
 
Back
Top Bottom