GE2025 Halima Mhando: Kususia Uchaguzi ni kosa, ni sawa kususia maendeleo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Halima Mhando Rajab, akizungumza kupitia Crown FM, amegusia kuhusu athari za vijana kutoshiriki katika uchaguzi na jinsi hali hiyo inavyoathiri utendaji wa vyama vya siasa, akisema wazi, 'Kususia uchaguzi ni kosa, ni sawa kususia maendeleo.''

Your browser is not able to display this video.
 
Ila kupora uchaguzi sio kosa? Ambako kunapelekea kutupatia viongozi tusiowachagua? Tunaoiga Kura au Kula?
 

Attachments

  • Addy_Adams_330p_20250917_124024.mp4
    175.4 KB
Hapa ni sawa na kusema kuhoji madudu yanayofanya na sirikali na vyombo vyake ni kususia maendeleo.Ikumbukwe tumewahi kudanganywa maendeleo hayana chama.Ila waliochagua kwingine waliambiwa nyie subirini kwanza hii ni zamu ya ukanda fulani ama hamletewi maendeleo kwa kuwa hamjachagua chama fulani.Tanzania tunayo safari ndefu kwanza kutambua nini haki zetu,katiba inatupa haki zipi na watawala wanazibananga haki zipi,zipi wanazitindinganya na zipi wanazibananga?
 
Wapumbavu huwa hawaishi , hivi huu ujinga unaondelea una hadhi ya kuitwa uchaguzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…