Unasemea Mbeya yote mkuu? Ilihali mvua ipo Kyela tu, na sehemu kubwa ya Mbeya ni kavu, hivyo hivyo kwa maeneo mengi ya Songwe, Iringa, Rukwa, Katavi n.k; maeneo yanayotegemewa kwa chakula.
Taarifa ya TMA ipo wazi.
Unasemea Mbeya yote mkuu? Ilihali mvua ipo Kyela tu, na sehemu kubwa ya Mbeya ni kavu, hivyo hivyo kwa maeneo mengi ya Songwe, Iringa, Rukwa, Katavi n.k; maeneo yanayotegemewa kwa chakula.
Taarifa ya TMA ipo wazi.
Acha jua liwake tujue wapi ni jangwa😂😂😂, ila tuache masihala jamani, kama mwaka huu una chakula cha ziada mimi nakushauri usiuze kabisa, mwakani tutataftana nyinyi 🤔🤔🤔
Unasemea Mbeya yote mkuu? Ilihali mvua ipo Kyela tu, na sehemu kubwa ya Mbeya ni kavu, hivyo hivyo kwa maeneo mengi ya Songwe, Iringa, Rukwa, Katavi n.k; maeneo yanayotegemewa kwa chakula.
Taarifa ya TMA ipo wazi.