Halahala CCM na Nchemba wenu!

Hivi aliishia wapi aliposema tumwombee ana siri nzito juu ya chadema............????

Kwani anaona shida gani kujiombea mwenyewe? Bila shaka amegundua Biblia inasema maombi ya asiye haki ni chukizo kwa Mungu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Magamba wanaona lakini hawaamini, ngoja wananchi wa Liwale wasambae nchi nzima.Mbunge anaacha kueleza matatizo ya maji huko mtera anamtusi Dr.Slaa lol!
 
mwigulu tena....
ni kweli anafikiria maendeleo au ubishi na lugha mbovumbovu ??!!.
 
BIBLIA ndio kitabu kitakatifu tuu kwenu? CHADEMA utawajua tu!

Kwani ukimuuliza Mwingulu Nchemba atakuambia sio BIBLIA kwake??? DON'T PICK and CHOOSE RELIGIOUS BOOKS TRUTH MATTERS!!!!

Hapa ni Mahali pa SIASA; DINI ni IMANI BINAFSI!!!
 
Hii ni tafakuri makini sana ambayo mwandishi ameiandika kwa uhodari mkubwa.

Naamini kwa wanaCCM makini na wasio wanafiki, wataufanyia kazi waraka huu, lakini kwa wale tunaoweza kuwaita sikio la kufa, kama kawaida yao, najua wataupuuzia!!
 
Aise asithubuthu NCHEMBA kuonekana karibu yangu sitamuacha hai !
 
Yaani hakuna mtu ninayemdharau humu duniani kama nchemba.
"Eti anasema watanzania naomba mniombee nina jambo zito nataka lisema" huyu jamaa ni punguani. Siku hz vi id vyake vya shelui, utaifakwanza na shumbi madelu havitumii tena.
 
Yaani hakuna mtu ninayemdharau humu duniani kama nchemba.
"Eti anasema watanzania naomba mniombee nina jambo zito nataka lisema" huyu jamaa ni punguani. Siku hz vi id vyake vya shelui, utaifakwanza na shumbi madelu havitumii tena.

Baada ya watu kushtukia ID zake ameacha kwanza. Sasa anatengeneza nyingine mpya. Mtaziona tu. Yeye na CCM yake ni janga la kitaifa.
 
Sasa Lusinde na Mwigulu kuachiwa Chama (CCM) ni janga. Ni sawa na Akili ndogo kuongoza akili kubwa. Hii ni ya kwanza kuishuhudia ktk enzi hizi za siasa Tz. Let us see.
 
hofu yangu mimi si Mwigulu, Hofu yangu mimi sio Lusinde wala ccm wala chadema. Hofu yangu mimi ni kwa hawa wanao amini udini kuliko kitu kingine. kuna watu hum jf uwezo wao wakufikiri ni mdogo sana kila jambo wao ni udini tu.
 
ccm inawafanya watanzania kuwa wenda wazimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…