Mimi nadhani ndoa kuvunjika ni kitu kidogo sana, haijalishi umewai kuishi kwa muda mrefu kabla ya kufuata formalities zote. India ni mmoja kati ya inchi ambayo rate ya divorce iko chini sana ukiliganisha na marekani. wanaoana wakiwa vijana wenye umri mdogo I meam 18+ and still ndoa zao zina dumu ukilinganisha na ndoa za kizungu+ za kibongo.
Zipo sababu za msingi:
1. kuto kufuata maadili yetu
sasa hivi watu wanaiga mambo yanayo onekena kwenye TV, BF and GF aya mambo hayakuwepo siku za nyuma, zamani mtu akitaka kuoa no lazima awashirikize wazazi wazazi walikunafanya BIOSELECTION i.e watatafuta msinchana mwenye tabia nzuru, mtulivu ambaya hana historia ya ugonjwa wa fafa n.k lakini leo hii watu wakikutana disco tayari wameshakua wanandoa.
Okey ukipata mchumba uwashirikishe wazazi wawe washauri basi, yaani uchague mwenyewe ila wazazi wawe washauri. hatuwafanyi hivi, sisi tunalazimisha na tunasema kipenda roho ula nyama ya tembo. matokeo yake ndoa zina vunjika kila kukicha. leo hii mahakamani kesi za ndoa ni kweli kweli. Biblia inasema muheshim baba yako na mama yako ili siku zako zipate kuongezeka. Baba na mama ni miungu wetu hapa duniani
2. watu hawamuogopi Mungu
Katika ndoa nyigi za siku hizi watu hawampi nafasi Mungu atawale ndoa zao, kwanza utakuta Mume ana dini yake na mume anadini yake na inawezekana kabisa wote wakawa hawana dini, hivo inapo tokea matatizo wanashindwa kuomba Mungu au wanashindwa kusameeana kabisa, unakuta wanakua sio waaminifu.
utakuta kwa wale walio makanisani wao wanakua ni hypocrite( wanafki), wakiwa kanisani wanajifanya ni wapole wana mpenda Mungu ila wakiwa manyumbani kwao ni tofauti.
3. wanandoa wengi siyo waaminifu
vijana wengi wanasema kwamba: utakulaje chakula kimoja siku zote?, wengine wameenda mbali zaidi wanasema ratio kati ya wanaume na wanawake TZ ni 1:3 wakimaanisha kwamba kila mwanaume 1 ni lazima awe na wanawake wa 3.
as the result watu wazinzi wakutupwa, simu inakua ni alama mmoja wapo ya kuonyesha kutokuaminia
4. Unafki ata mazabauni,
mnapo funga ndoa, kuna maneno ambayo tunakariri bila hata kujua madhara yake. I will be faithfull tou all the time in sickness or health, in thick and thin etc. untill dealth will separate us . maneno haya ndugu zangu watu ukariri tu, inapo fika wakati wa shida wanandoa wengi ukimbia ndoa zao, watu wanaficha hela zao hawataki kuwaonyesha wakezao, wanawake hawashauriki. kwa hiyo shida mtupu.
5. la mwisho kabisa ni kuto kusamee
Biblia inasema hivi, samee saba mara sabini kwa siku( Matayo 18:22), tunapo omba sala ya baba yetu tunasema utuasamee makosa yetu kama sisi tunavyowasamee waliotukosea.
wanandoa wanaweza kusamee kila kitu isipokua maswala ya uzinzi. wanakimbia andiko linalo sema usamee isipokua uwasharati. sio kweli watu upotosha tafsiri. YESU ANASEMA ATAKAMA MTU NI MZINZI NI LAZIMA USAMEE, usipo samee ata wewe hutosameewa.
"WAABUO ALISI WATAMUABUDU MUNGU KATIKA ROHO NA KWELI" NA SIYO KWA UNAFKI. Mimi naamini tukimuabudu Mungu katika roho na kweli ata ndoa zetu zitadumu. vinginevyo ni kuishi katika mashaka, kutokuaminiana na kesi kila kukicha.
Source: My own obseravational research