Hii wanawake huwa wanashindwa kuelewa ni kwanini sisi wanaume tunaingia mitini Mara kadhaa baada yakufanya sex na mwanamke!ukweli ni kwamba kama mwanamke ataonyesha waziwazi dalili za mizinga iliyopitiliza kila time kuomba omba Mara baby ninunulie hiki Mara kile! Mwanzoni tunaweza kuvumilia kimtindo ila Mara baada yakuona ndani tunaingia mitini kwasababu huwezi kila siku unaombwa pesa na ukadumu na huyo mwanamke!
NB,Tunajua ni jukumu la mwanaume kumuhudumia mwanamke kwahiyo tuachieni kazi yetu tufanye jinsi tutavyoona inafaa msituingilie kutukumbusha kila mara
Andika "hakuna mwanaume atakayedumu na mwanamke mpiga mizinga" ustake kutukosea adabu wanaume tuliobahatika kupata wanawake " binaadam"
By the way tafuta pesa uhonge, acha kulialia njaa
pole sana,bahati mbaya pochi ya mwanaume ni moja ya kigezo kama vilivyo vigezo vingine vinavyoangaliwa na wanawake mfano ;urefu, weusi etc sasa wewe pingana na nature,break your neck...lol