Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 944
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]no 5 nimeipenda teh
Haya mkuu.1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu
KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.
Nawapenda
Yah wale wanaozidiwa na genyeWanawake huwa wanaugua kucheka cheka?
That's new wallah!
Mwanaume zikimzidi huwa hacheki cheki?Yah wale wanaozidiwa na genye
tatizo lao wanafeki sanaWa kolomije hizo sifa hawana...
Tunashukuru kwa kulitambua ilo1.Mlipewa nguvu nyingi
2.Hamuugui magonjwa ya ajabu ajabu kama u.t.i ama kuchekacheka ama cervix&breast cancer
3.Hambebi ujauzito mlijaliwa kutengeneza tu huo ujauzito
4.Mnaheshimika popote mnaposimama na kuongea
5.Mnauwezo wa kukojoa kila mfanyapo tendo la ndoa hata kama umebakwa
6.Mlipewa uwezo wa kuvumilia na kuhimili mambo mazito na ya ajabu
KUMBUKA:Huu ni mtazamo wangu kama unakubaliana na mimi ongeza mengine niliyoyasahau na kama unapingana na mimi toa hoja kuntu nijifunze.
Nawapenda
Kwani huo uwezo nyie hamna?Wana uwezo wa kusex na mwanamke hata kama hawajampenda
Hapna uwa hatuchek ovyo na labda kuwa na hasira zisizo na msingiMwanaume zikimzidi huwa hacheki cheki?
Soma tena uelewe,ipo sahihi sio hivyo ulivyoharibu wewemasahihisho no 5 kubaka = kubakwa
Mh!Wana uwezo wa kusex na mwanamke hata kama hawajampenda