jamani usiseme sasa hivi kodi serikali inazokusanya ni nyingi sana ila sasa matumiz ndio makubwa hivi unafikiri magari haya ya kifahari kuyweka tu barabarani ni sh ngapi yanatumia? je hao wa mjengoni wamewah kukopwa au ni sisi walalahoi ndo tunaokopwaga tu? hela wanayo ila ocs ni kuba kuliko za maendeleo