Guys I need help please


Posa huyo huyo anayehimili kishindo chako. We vipi bana hilo nalo la kuuliza.
 

kwa uzoefu kama unatumia pombe kali ni vigumu kufika,jitahidi kufanya mapenzi kabla ya kunywa,nina hakika itaisha maana pombe kali kama konyagi,valuu n.k husababisha hali hiyo.
 

Braza umetisha huu ushauri wako ni perfect kabisa ni kama alio nipa rafiki ya ngu doctor nirukie stripper na nikafanya ile first day ikanipa confidence sana na hio mistari mingine chini imenisaidia kiaina maana good news jana nimekamua kwa 40 to 42 minites nimeanzakuamini kwamba mi sio mgonjwa ni more of saikological thanks kwa ushauri
 
njoo kwangu maana mim bf wang ndan ya dk 5 tu kituu unakuta mim ndio bado kabsaa yan ile naanza kuskia mautam yey tayar anapi... ila duuh iyo ya mwendo wa dk 20 ndio naipendaga et!! so apo mi nawew tutakua ngoma dro
 
saa moja na nusu kwa mtoto wa mwanaume mwenzio?!,loh,hapana aisee!!
 
zamani huo ndo ulikuwa ugonjwa wangu, zaman nilijuaga kuwa mapenzi ni kusugua tu sugua tu...baadae nkaachana na mdada nkapata mwingine...tulikuwa tukienda ni 50 to an hour, xory to say, mpaka mrembo anakuwa mkavu, mnakimbilia kulainisha na mafuta, mnarudia na kurudia then mnatoka na kamoja/goal na kembambaaaa...tulipokaa na kuzungumza vizuri tukagundua maandalizi F, mawazo ya kula tunda E,then tukasahihisha makosa...tangu apo ni kuwa kwanza kabla mdogo wenu hajaingia chumbani kuvua nguo, anajikuta kapiga cha kwanza...akifika tu unasikia noooh, let me wash am wet already..ah ah ah, braza, LEARN ANGLES TO TOUCH BRAZA,sio kusugua tu kumbe....

ushauri mkuu
kabla hamjaanza na mwanandoa wako, fanya maandalizi...kweli ujue kuwa ukiingia utasikia utamu, wala sio tu kuwa kwa kuwa iko wima sharti iingie, hapana...
Jiandae na mwenza muandae kisaikolojia kuwa sasa nyote mko hoi, m mmoja akichelewa mwenzie atarusha bomu mlangoni, ,,,,ila ile ya panua niweke hamtafika...mtakaa weeee then yule anayevuta fikra kuwa sasa anafanya ndo atafika, yule anayekimbia kimbia bila kuwa na fikra/steam ndo atakaa weeeee hakuna kitokacho....

uwe na mtu unayempenda, yaani uwe na hisia naye, ila kama mnakwazurana, ukimwona unawaza dah msumbufu yule kashakuja,...apo hapa mfanye siku nzima ni kama mnampigia mbuzi gitaa...ukimpata yule ambaye akizingua kidogo unawaza, akikupa unaona umepewa dhahabu...apo mkuu awe mdada au mkaka, atafika fast...

Usafi na manikato ya kimapenzi ni mwake...mkuu ilo zoezi linataka usafi wa hali ya juu,chumba kisafi,pasipo na majoto na hewa nzito...eg zile nywele nyeusi zilizojaa rangi utadhani mvi/yaani nywele nyeusi zimejaa majasho na kuwa na layer ya maziwa, kwapa na kifuani weka sawa, ...pia,mwanamme kufika anakoenda sharti mazingira ya ndani ya mdada yawe yamebadilika na kutaka kupokea, ila kama mnafanya ila mdada anazidi kuchoka na kusinyaa ujue kuna tatzo...ukute harufu ya mwili wako/majasho yanampa tabu eg kumfanya apumbue anabana pua na mdomo...nk nk apo binti ataweka mazingira ya kukufanya uachie virutubisho hamtaenda mbali....be romantic

Tendo linakamilika pale ambako mwanamke anafungua njia kupokea wakati huo huo baba anaachia rutuba iende kwenye eneo alilofungua mama, tendo ili ni la kisayansi wala sio ma-nguvu ya kusugua...ni la dakika chake yaani 3 mpaka 5 tayari, (kwa apa sharti wawili muwe mnakubaliana hata bila kujua/or automatically)...

Kama nilivosema above jua sehemu za kugusa, hit sharp angles/points...eg ukiingia uko ndani, nenda uku, rudi uku kona ya kushoto kulia, njoo kama umezila unaondoka zako ukifika mlangoni, rudi haraka kama umesahamu kitu ndani , ondoka tena...kwa mtindo huo utamtesa kimahaba mdada na kumfanya analete madumu ya maji barabarani...ila ile ya sugua nisugue, sugua nisugue...mtaishia kuchubuana na kuambulia kijiko kimoja...

Mdada asikwambie amechoka ukaona raha, hakuna kitu kama icho kwenye mapenzi, ndo maana unasikia watu wanafiaga vifuani kwa watu, sio kuwa wamepigwa nyundo, ni tu kuwa anaenda anaenda na kujikuta kakimbilia kapitiliza na kupoteza oksijeni nzima...mara nyingi uwatokea mabinti wadogo walioanza na kuibukia sana,au mtu mzima akikutana na binti anayejiweweza, yaani anasikia raha, utam raha utamu mwanzo mwisho...matukio mengine yaani baada ya apo mwingine atalala kama amepoteza fahamu, mwingne atakunywa maji hata jagi wakati wengine hushindwa hata kusimama wala kutembea ...zile za tuache nimechoka apo ujue ulikuwa unamkimbiza kama unakimbiza mwizi....na...anyway ntamaliza wino bure...yangu ni ayo tu mkuu....try it. it works.
 
Pia kuna wanaopenda kama wewe tena leo Pm yako itajaaa
 
huna matatzo.ni umejiwekea tu...bt oa huyo alokufksha 42 mints.plz maana unako elekea kwa striprz cyo mchezo mzr hata kdogo
 
njoo kwangu maana mim bf wang ndan ya dk 5 tu kituu unakuta mim ndio bado kabsaa yan ile naanza kuskia mautam yey tayar anapi... ila duuh iyo ya mwendo wa dk 20 ndio naipendaga et!! so apo mi nawew tutakua ngoma dro

aah aah aah, ndo kwanza ww unataka...!! bt kibiolojia inatakiwa cha kwanza dakika3 mpaka 5 baada ya apo mnapiga hata vi5 au 6...si kwamba kimoja hoi ,iyo haifai....
 
njoo kwangu maana mim bf wang ndan ya dk 5 tu kituu unakuta mim ndio bado kabsaa yan ile naanza kuskia mautam yey tayar anapi... ila duuh iyo ya mwendo wa dk 20 ndio naipendaga et!! so apo mi nawew tutakua ngoma dro

we ni pm uucheze huu mziki, huu unaucontrol mwenyewe ukilizika ndio unaniruhusu mi nimalize hii ni noma ina injector pump
 
huna matatzo.ni umejiwekea tu...bt oa huyo alokufksha 42 mints.plz maana unako elekea kwa striprz cyo mchezo mzr hata kdogo

True hata mimi nawaogopa sana ila sema this time nilikua sina option ilikua lazima nipate sehem ya kutafutia confidence, sasa kama ningeamua kutafuta watoto kama nyie mnaotaka kufatiliwa mwezi mzima hili zoezi lingekwama but at least sasa nimejua sina tatizo sema inatakiwa niwe na make love sio na act porn, from today no stripper.
 

Haahah mkuu umetisha umeongea mengi ya ukweli hio thanks nitaendelea kuyafanyia kazi na mimi niwe na enjoy sio wenzangu tu nawafurahisha wakati mi bila
 
kabla cjakushaur! hv unamiliki nanii saiz gani?? kibamia au mshedede!

Da sijajua kibamia ni size gani na mshedede ni size gani mkuu ila what i know ni average cos hakuna mwanamke aliewahi kuikimbia, sababu ni kubwa au aliesema haijafiti so najiweka kwenye size ya kawaida btn 5 to 6 inch
 
wana jf nashukuru kwa ushauri wenu mpaka leo ninaendelea vizuri na ninaanzaku enjoy mapenzi atleast nipo kwenye 40minutes ukicompare na zile za zamani za saa moja na nusu i hope nitaendelea kuiprovu zaidi but all thanks to you guys.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…