Guys I need help please

eazy900

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
349
Reaction score
124
Jamani wana jamnvi mi I think nina tatizo nimeisha acha ma girlfriend wawili because hawanifikishi sexually, i mean sifiki mshindo,

Hawa wote wawili niliokua nao kila tukifanya mapenzi yaani nikianza kupiga papunchi zao baada ya dakika 20 au 25 utakuta wameisha fika then nikiendelea baada ya dakika tano la pili wakati mi ndio kwanza mashine bado ngumu na mishipa ya damu imechomoza kama inataka kupasuka then unakuta dem wangu ameisha choka nikibembeleza sana atleast apige cha tatu labda na mimi nitakamua kimoja unakuta kweli amechoka ninakua kama namtesa then baada ya five minites anapiga harafu mi bado baada ya hapo hataki kuendelea anasema papunchi inawaka moto .

so mi nabaki bilabila, sasa baada ya kujiuliza maswali nikamshirikisha friend wangu wa karibu ambae ni doctor akaniambie chukua demu wa kununua ndio wanahimili muda mrefu harafu nione then mtoto wa kiume nikajivuta mpaka hotel moja hywa napigaga kilaji baada ya kupiga maji nikamuomba one of wale mawaitress anipe game akakubali, tukaingia game wakuu kwakweli for the first time nime come lakini imenichukua saa moja na nusu sasa swali hii ni normal au sio maana yule rafiki yangu doctor yeye ni mtaalamu wa magonjwa ya watoto sasa majibu yake nataka nichanganye na yawana jamii please na hilo ni bao moja ndio saa moja na nusu sasa nikitaka la pili si ndio matatu kabisa na dem wa kuhimili hio mikiki yupo kweli au nitakua na nunua for the rest of life?

Note wazee wa punyeto sijawahi piga hii kitu kabisa
 
mmh hicho kifanyio chako cha kibinadamu kweli? hebu kichunguze vizuri. saa moja na nusu kwa mtoto wa mwanaume mwenzio????/
 
PM zimefika ngapi mkuu? Limekaa kama tangazo hivi.....ndukiii
 
Khaaaa masaa2 ulafi gani huo??? Bora uendelee kununua wakuzawadie na magonjwa
ndio maana nahitaji msaada kununua ndio ilikua mara ya kwanza na sipendi unaamka asubuhi na mawazo hapo unahitajika msaada@angel
 
Hilo ni tatizo la kawaida kwa watu wanaopiga punyeto, watu wanaogegeda mara kwa mara! ushauri wangu punguza punyeto mzee kama kweli hufanyi huo mchezo kama ulivyosema basi fanya mapenzi mara chache! punguza kupiga pushapu, kula tikiti maji na pia punguza kula vyakula vya carbohydrate kwa wingi naamini unakula sana wanga mzee!!!!!!!!!!!!!!
 
PM zimefika ngapi mkuu? Limekaa kama tangazo hivi.....ndukiii
hahahah sio tangazo mkuu maana hamna humu jf anaeweza vumilia huo mshindo ila ninahitaji ushauri kama kuna njia ya kunifanya nifike mapema maana humu kuna watu wote including madactari
wa sexual organs
 

asante kwa ushauri hilo la punyeto sio ila la push up inawezekana cos nafanya sana mazoezi i am physically fit sana so nitalifanyia kazi hilo
 
mmh hicho kifanyio chako cha kibinadamu kweli? hebu kichunguze vizuri. saa moja na nusu kwa mtoto wa mwanaume mwenzio????/
Huyo ndo safi atakufaa au unaogopa
 
asante kwa ushauri hilo la punyeto sio ila la push up inawezekana cos nafanya sana mazoezi i am physically fit sana so nitalifanyia kazi hilo

dah kama ni kwel pole sana maana unatsha mwenzangu!una hatar wewe,aisee hao madem si wanakimbiaga ch*pi?
 
Ungelikuwa una mke ningelikushauri...
 

Yani umenichekeshaaa,tafran za foleni zimepungua kichwani, enhe saa nzima kijana una katika jasho Kama unalima shamba, sasa mda wote huo unatumia kwenye bao la pili au ndio unalitafuta la kwanza? Una umri gani? Unajishughulisha na nini?
 
ha!ha!haa!duh!ndo pa kushake before use hapo maana duh!hataare kaka pole mi hata cha kushauri nimekosa.
 
 
mmh,yaan una bonge la shidah fanya juhudi kupata ushauri kutoka kwa wataalam wa mambo ya sex.labda waweza pata ufumbuzi
 
Safi sana dogo!

We need performances like those of yours!

Hawa wanawake wa humu leo wakose cha kusema!

Sasa, punguza spidi ya kukanyaga mafuta....!

Utaua kaka eenh!
 
mmh hicho kifanyio chako cha kibinadamu kweli? hebu kichunguze vizuri. saa moja na nusu kwa mtoto wa mwanaume mwenzio????/

Hata mimi nina mashaka na hicho.kifanyio chake huenda siyo mtu wa ukweli huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…