Green star bus Dar - Mwanza

hiyo namba ya customer care ya fastjet ukipiga uli upate msaada haipokelewi na wakati mwingine haipatikani kabisa ufafanuzi toka kwa wahusika plse?

Mwnyewe nimejaribu leo mpaka simu imeisha chaji simu inaita tuu bila kupokelewa hawa nao wameanza taratibu, mwishowe watakuwa hawana tofauti na hao wa mabasi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…