Umaskini mbaya Sana
Kuna watu wanaosha vizee USA lakini nyumbani wamejenga ghorofa moja ,plus usafiri tena sio Toyota wana range kuna koo zingine hawajawahi hata kuingia kwenye range hata kumiliki Tu
Halafu MTU yupo bongo ana miaka 50 hata hata pa kukaa KAZI anatapeliwa na kalinda ni heri watu waombe green card kama akifanikiwa ataleta hela nyumbani kuwekeza