Toa maelezo ya kutosha watu wafahamu kuhusu hiyo QS's inahusika na nini, ofsi iko mahali gani, jinsi ya kutuma maombi, nafasi gani zinahitajika sio swala la kutoa namba ya simu bila kutoa maelezo ya kina kuhusiana na shughuli zinazopaswa kufanywa na hao graduates mnaowahitaji.