Nimeshaijaribu hiyo Chromecast,i like it maana you can watch kila kitu kutoka kwenye cell/laptop/ipad kwenye big screen na installation yake is easy like counting 1 2 3,soon or later nafikiri cable/paid TV zitakula kwake maana internet ina material mengi sana kuangalia kuliko TV za kulipia,ila bongo na internet za kupima sijui itakuwaje?