Google translate kawa mkombozi hahahahahaa

Sikio la muazini

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2026
Posts
248
Reaction score
469
Google translate kawa mkombozi kwa wanaoijua na kuitumia utanikuta naandika kifaransa balaa kumbe wala sikijui au mtu anaandika kiingereza kumbe wala hakiju anaandika text kiswahili anatranslate halafu anaonekana msomi kumbe hajui kitu hahahahaha

Kama unatumra google tafsiri jichekeshe hahaha:
 
Ni app au?
 
Usiiamini sana inaboronga wakati mwingine kutoka lugha ya kiswahili kwenda hizo lugha nyingine za kigeni.
 
Gentleman,
hivi hiyo Summarize Thread (AI) hapo juu kidogo ya title ya bandiko lako, hua ina kazi gani?🐒
 
Kuandika lugha si sifa yenye maana sasa hivi. Nasikia China kuna course wanazifuta ikiwemo hii ya kujua malugha lugha. Ai inaenda kuubadili ulimwengu, tusipobadilika sijui itakuaje.
 
Usiiamini sana inaboronga wakati mwingine kutoka lugha ya kiswahili kwenda hizo .
Bado Google translate ina makosa yanayotakiwa kufanyiwa marekebisho..bora hata hizi AI zinajitahidi kuleta tafsiri halisi km Chat GPT, Gemini,DeepSeek na Grok...
 
Usiiamini sana inaboronga wakati mwingine kutoka lugha ya kiswahili kwenda hizo lugha nyingine za kigeni.
Hata wazungu nao wanaboronga tu wanapoongea kiswahili, muhimu kueleweka tu, lugha lenyewe la wakoni halistahili heshima ni kuliboronga tu.
 
Google trans. itakuumbua siku moja kwani inavyotafsiri kwa anayeijua lugha husika atagundua umetumia google translate -inaweza ikabadili dhana/wazo ulilokusudia liwafikie walengwa wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…