M mwaega JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 201 Reaction score 261 Jan 6, 2023 #1 Nahitaji godoro la spring. Je godoro gani zuri ndugu zangu kwa wale waliotumia? Sihitaji wafanyabiashara kujitangaza nahitaji kupata elimu ya godoro ambapo elimu itasaidia na wengine.
Nahitaji godoro la spring. Je godoro gani zuri ndugu zangu kwa wale waliotumia? Sihitaji wafanyabiashara kujitangaza nahitaji kupata elimu ya godoro ambapo elimu itasaidia na wengine.
B Prosper JF-Expert Member Joined Dec 16, 2016 Posts 2,547 Reaction score 4,136 Jan 6, 2023 #2 Namimi nasubiri majibu
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,015 Reaction score 104,614 Jan 6, 2023 #3 😂 🤣 Hapa linhekuwa shindano la hela nishalos mpunga, kumbe unaweza ukaishi na kitu na usikijue.. Nimesahau lile godoro jina lake, herufi zinakuja na kupotea, ni zaidi ya miaka mitano lipo na ngoma fresh. Nitakutizamia nikifika mtaani
😂 🤣 Hapa linhekuwa shindano la hela nishalos mpunga, kumbe unaweza ukaishi na kitu na usikijue.. Nimesahau lile godoro jina lake, herufi zinakuja na kupotea, ni zaidi ya miaka mitano lipo na ngoma fresh. Nitakutizamia nikifika mtaani
Malaika Gabrieli JF-Expert Member Joined May 28, 2020 Posts 3,298 Reaction score 6,135 Jan 6, 2023 #4 nipo tayari kujifunza
Augustine Genius JF-Expert Member Joined Apr 14, 2016 Posts 1,220 Reaction score 1,497 Jan 6, 2023 #5 Godoro la spring
S scolastika JF-Expert Member Joined Jan 26, 2019 Posts 3,863 Reaction score 5,732 Jan 6, 2023 #6 spring jamani tueleweshane,tutoane ushamba
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 24,089 Reaction score 23,705 Jan 6, 2023 #7 mwaega said: Nahitaji godoro la spring. Je godoro gani zuri ndugu zangu kwa wale waliotumia? Sihitaji wafanyabiashara kujitangaza nahitaji kupata elimu ya godoro ambapo elimu itasaidia na wengine. View attachment 2470558 Click to expand... Crysili yako poa sana
mwaega said: Nahitaji godoro la spring. Je godoro gani zuri ndugu zangu kwa wale waliotumia? Sihitaji wafanyabiashara kujitangaza nahitaji kupata elimu ya godoro ambapo elimu itasaidia na wengine. View attachment 2470558 Click to expand... Crysili yako poa sana
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 24,089 Reaction score 23,705 Jan 6, 2023 #8 scolastika said: spring jamani tueleweshane,tutoane ushamba Click to expand... Huyajui mkuu? Yanawekwa spring kama magari pia yanatembea, unalala zako kimara unaamka kwa Mungu kuja kustuka kumbe ulishakufa kitambo na ushazikwa
scolastika said: spring jamani tueleweshane,tutoane ushamba Click to expand... Huyajui mkuu? Yanawekwa spring kama magari pia yanatembea, unalala zako kimara unaamka kwa Mungu kuja kustuka kumbe ulishakufa kitambo na ushazikwa
Basi Nenda JF-Expert Member Joined Jul 29, 2017 Posts 20,789 Reaction score 47,987 Jan 6, 2023 #9 scolastika said: spring jamani tueleweshane,tutoane ushamba Click to expand... Ni godoro kama mengine ila humo ndani yake kuna spring hivo linanesa nesa, huwa yanatqngazwa sana
scolastika said: spring jamani tueleweshane,tutoane ushamba Click to expand... Ni godoro kama mengine ila humo ndani yake kuna spring hivo linanesa nesa, huwa yanatqngazwa sana
Wilhelm Johnny JF-Expert Member Joined Jan 13, 2016 Posts 1,369 Reaction score 1,336 Jan 6, 2023 #10 Yanauzwaje nijilipue na mimi
M MICROZ Member Joined Dec 10, 2018 Posts 70 Reaction score 84 Jan 6, 2023 #11 nguvu said: Crysili yako poa sana Click to expand... Je bongo lipo na ni kiasi gani?
S scolastika JF-Expert Member Joined Jan 26, 2019 Posts 3,863 Reaction score 5,732 Jan 6, 2023 #12 Basi Nenda said: Ni godoro kama mengine ila humo ndani yake kuna spring hivo linanesa nesa, huwa yanatqngazwa sana Click to expand... oooh,kumbe asante kwa ufafanuzi
Basi Nenda said: Ni godoro kama mengine ila humo ndani yake kuna spring hivo linanesa nesa, huwa yanatqngazwa sana Click to expand... oooh,kumbe asante kwa ufafanuzi
S scolastika JF-Expert Member Joined Jan 26, 2019 Posts 3,863 Reaction score 5,732 Jan 6, 2023 #13 nguvu said: Huyajui mkuu? Yanawekwa spring kama magari pia yanatembea, unalala zako kimara unaamka kwa Mungu kuja kustuka kumbe ulishakufa kitambo na ushazikwa Click to expand... mkuu mbona umeniongezea utata jamani
nguvu said: Huyajui mkuu? Yanawekwa spring kama magari pia yanatembea, unalala zako kimara unaamka kwa Mungu kuja kustuka kumbe ulishakufa kitambo na ushazikwa Click to expand... mkuu mbona umeniongezea utata jamani
Waterloo JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 25,351 Reaction score 38,941 Jan 6, 2023 #14 Nunua Tanfoam spring (Lolita) nchi 10 hutojutia
Waterloo JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 25,351 Reaction score 38,941 Jan 6, 2023 #15 scolastika said: spring jamani tueleweshane,tutoane ushamba Click to expand... Hilo hapo arusha yanapatikana ila hata kwa mikoani nadhani wana agents unaweza kupata.
scolastika said: spring jamani tueleweshane,tutoane ushamba Click to expand... Hilo hapo arusha yanapatikana ila hata kwa mikoani nadhani wana agents unaweza kupata.
Superfly JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 1,013 Reaction score 2,140 Feb 18, 2023 #16 Waterloo said: Hilo hapo arusha yanapatikana ila hata kwa mikoani nadhani wana agents unaweza kupata. View attachment 2470815 Click to expand... Gharama yake ikoje ndugu?
Waterloo said: Hilo hapo arusha yanapatikana ila hata kwa mikoani nadhani wana agents unaweza kupata. View attachment 2470815 Click to expand... Gharama yake ikoje ndugu?
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 20,564 Reaction score 41,329 Feb 18, 2023 #17 Hayo magodoro yanapunguza maumivu ya migongo kwa asilimia kubwa...
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,366 Reaction score 185,614 Feb 18, 2023 #18 Ngoja waje kukupa muongozo...